Pumzika kwa amani mfalme Pele

 

Kiungo wa Manchester United, Carlos Casemiro kupitia ukurasa wake Instagram ameandika


“Pumzika kwa amani mfalme Pele, Ahsante kwa utukufu wote ulioipatia Brazil na soka. Urithi wa maisha yako ya soka ni wa milele.”


Post a Comment

0 Comments